MCHUNGAJI WA SIMBA ALIPUKA SIMBA KUFUNGWA NA AL MASRY | ATEBA AJIREKEBISHE | KIBU DENISI HAJAWAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025

Комментарии • 124

  • @NurueliMmbaga
    @NurueliMmbaga 8 дней назад +9

    Tumepoteza kwa uzembe wetu. Hii mechi ilikuwa ya kushinda kabisa

  • @JosephNgasa-j7l
    @JosephNgasa-j7l 6 дней назад +1

    Simba ya kupindua meza ilikuwa ya kina kagele,chama,miquison,paschal wawa,kichuya bwarya,Boko,lakini Simba hii ya wachezaji wa nne tu yaani ukiwakamata,kibu,mpanzu,husen,kapombe walio Baki wote hata mm hawanizuii

  • @JosephElias-n1k
    @JosephElias-n1k 6 дней назад

    Ateba choko choko choko choko

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman7408 7 дней назад +1

    Mechi haijaisha tutunze maneno na tuungane kama tunaitaka nusu fainali,wachezaji waetu na kocha wanaitaji maneno na dua za faraja,angalia magoli waliyopata ndipo utajua uwanja wao uliwabeba.nikuache na swali mwanasimba gani ameikatia simba tamaa ya kwenda nusu fainali?ni asie jua mpira

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 5 дней назад

    Ila hata Mimi huyu kocha kwa ateba anajipotezea muda wa ushindii

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 8 дней назад +2

    Kapteni shabalala abadilishwe hana exposure ni muoga hajui lugha utamchaguaje kapteni asiyejua lugha za kimataifa

  • @anselmjohn7819
    @anselmjohn7819 8 дней назад +3

    Tusiishie kulaum penalty tuu tulaum nafasi tulizopata tukashindwa kutumia wenzetu wamepata nafasi mbili na wamefunga hapo kuna cha kujifunza sana kuchezea mpira sio ishu kwenye hizi hatua

    • @nurusaid4698
      @nurusaid4698 7 дней назад

      We Ukiangaliya Simba Wanafunga Kweli Bila Penati Au Shoboooo😂😂😂😂😂

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 5 дней назад

    Pigeni vichwavyao kumbe bado wanapumua😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 8 дней назад +1

    Ateba hatufai

  • @MaryHenry-d7o
    @MaryHenry-d7o 4 дня назад

    Ukomeeeeeeee

  • @AlexJoel-g2n
    @AlexJoel-g2n 7 дней назад

    Simba acheni unafiki na maneno ya uwoga simba wanashida kubwa sana haswaa kwa ateba mnatudanganya kumbe kuna uzembe mkubwa sana ateba alikuja kusaisia simba au kujinenepea uzembe kitambi kwa mchezaji inatoka wapi msssss

  • @mariyamwishoMwashambwa
    @mariyamwishoMwashambwa 7 дней назад

    Simba bwana tatizo hatujuwi kuraramika kumbuka afirc kusin turifungwa kihuni hivihivi

  • @ronaldgaudensi
    @ronaldgaudensi 8 дней назад +1

    Kocha wa Simba nimpumbavu sana anampanga ateba anakosa magoli lakini bado anampanga

  • @AdeltusMartin
    @AdeltusMartin 7 дней назад

    Kapteni wa simba hata asilalamikie Sema hiyo ni maelekezo tu, mbona gori la pili ajaenda kuangalia VAR, ila kaambiwa then kaweka kati bila kujizihilisha.

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 7 дней назад

    Mchungaji ubora ukae kimya. Mnaongea sana Simba Bado ni mbovu Haina Quality ya wachezaji kuamua matokeo.Wachezaji wanakaa na mpira mguuni kwa muda mrefu nakufanya wapinzaji wanajipanga

  • @ROJAMpashe
    @ROJAMpashe 7 дней назад

    Umeongea ukweli kaka

  • @davidfelician2903
    @davidfelician2903 5 дней назад

    Bado unabii wake kunawakati wanawaisraeli walimlalamikia Musa Kwa kukata tamaaa

  • @ronaldgaudensi
    @ronaldgaudensi 8 дней назад +2

    Kocha wa Simba ametukosea sana sisi mashabiki kumpanga ateba

  • @mussaram-tz5yf
    @mussaram-tz5yf 8 дней назад +5

    Kocha wetu hawezi kutuvusha mbinu zake hovyo sana hafanyi sub anamuweka bench mukwala kisa baunsa Ateba😂

  • @VicentSimba-i1p
    @VicentSimba-i1p 7 дней назад

    Hatumtak ateba boya yule mbwa kbc atupish

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 7 дней назад

    Mtabaki na historia. Wasubirie waarabu.

  • @isaackaitira7654
    @isaackaitira7654 8 дней назад +1

    Kocha hafanyi sub ni kama mechi ya Azam wenzio wanafanya sub wanaongeza nguvu yeye hafanyi sub, una wachezaji kama Mavambo una wachezaji kama Awesu hawachezi kabisa

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 8 дней назад

    Ili tushinde ateba Asianze pia budo anahitajika sana ili kufosi

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 7 дней назад

    Kuchezea mpira ww dk 90 bila matokeo ni ujingaaa msijifariji mshapigwaaaaa😂😂😂😂

  • @VicentSimba-i1p
    @VicentSimba-i1p 7 дней назад

    Coach na yy anazingua kufanya sub mapem

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 8 дней назад

    Ateba out hovyo kabisa mpanzu nae mchoyo sana toa pas

  • @yusufm1
    @yusufm1 8 дней назад +1

    Piga kichwanii bado anapumuaa 😅😅😂😂😂

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 8 дней назад +1

    Team captain mzembe

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix 8 дней назад +3

    Areba hakuna Kila kitu hapo tulipigwa mechi ijayo asicheze tu

    • @abdallahmindika1641
      @abdallahmindika1641 8 дней назад

      Kabisa kaka kumbe macho yako yameona
      Ateba kashanenepa mickson wa pili mkwala acheze ty yaani

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 7 дней назад

    Wachezaji wetu wazembe

  • @ramsorams11
    @ramsorams11 7 дней назад

    Kocha ana uzito wakifanya sab

  • @PendoMkaka
    @PendoMkaka 7 дней назад

    Aanze mukwala hiyo ateba hafai aludiswe kwao

  • @MeshackMwasakilale
    @MeshackMwasakilale 7 дней назад

    Wanasimba tutulie tunavuma tu

  • @thomasantapa8353
    @thomasantapa8353 8 дней назад

    Tatizo Mohamed Hussein hajui kuongea Kifaransa ndio maana aliogopa kumfuata Refa kumlalamika aangalie VAR penalty ya Ateba

  • @ErryAlly
    @ErryAlly 8 дней назад

    Ateba atatutoa ata kwa mkapa

  • @AzizMangara
    @AzizMangara 7 дней назад

    Tuache ujinga, waarabu wamepata tatu, wamefunga, sisi tumepata 20, hata moja atujafunga.
    Kazi kuongelea Penalty, usipofika kwenye 18, penalty unapata ya bibi Yako?!

  • @ShadrackSelemani
    @ShadrackSelemani 8 дней назад

    Kocha aache kumweka Ateba kipindincha kwanza,awe anamweka Mkwala.

  • @PaulKaswa-d2r
    @PaulKaswa-d2r 8 дней назад

    Ateba mzito kugeuka mwalim ampumzishe ateba weka mkwala au chachambi

  • @PendoMkaka
    @PendoMkaka 7 дней назад

    Acha maneno fanyeni vitendo na watafanya dtenc tu labda mtumie njia nyingine

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 8 дней назад

    tumecheza ila daah hakuna goli ,tukafungwa sisi , sijui kama tutavuka kwenda nusu japo inawezekana

  • @arthurmagwagu7689
    @arthurmagwagu7689 7 дней назад

    Halafu aibu sana mtu mzima kuongea uongo.

  • @MaikoNyondo
    @MaikoNyondo 8 дней назад

    Simba wafungaji hatuna hata ujinga tunao hawajui hata kumzonga mwamzi ili aangalie var

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 8 дней назад

    Huyu ndo kirusi muongo àlielekeza nguvu Tabora

  • @luck2389-s1z
    @luck2389-s1z 8 дней назад

    Tukiwaambia hamna timu ohh tuko shirikisho aya ndo akili iwakae sawa

  • @Rev.BethuelLukumay
    @Rev.BethuelLukumay 8 дней назад

    Tatizo GSM anaharibu mpira halafu hatujapewa nafasi ya kufanya mazoezi kuzoeya uwanja

  • @MapigomnakayaKagozi
    @MapigomnakayaKagozi 8 дней назад

    Ateba anaipotezea timu Moli yaani ana nyan'ganywa mpira kwenye box mara tatu hakuna streka wa hovyo

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 8 дней назад

    Hvkweli shot off target zaid ya 19 hamna hata goli ujinga kabisa

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 8 дней назад

    Ateba jamani hatufai hata kidogo hata mugalu alikuwa hivi hivi

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 7 дней назад

    😂🎉😂😂😂😂Hii tunavuka

  • @ramsorams11
    @ramsorams11 7 дней назад

    Sina imani

  • @amanialex-fx484
    @amanialex-fx484 8 дней назад

    Mchngaji hakuiona mecha na magori

  • @DavidBughe-g2h
    @DavidBughe-g2h 8 дней назад

    Huyu mtu ni liwaambia ni mganga tu wakienyeji ndio vizuri kila kunapokucha yanga yanga mnasahau kuangalia timu yenu ina mapungufu gani

  • @JumaNasoroMzenga
    @JumaNasoroMzenga 8 дней назад

    Ateba kufunga anajua ila miguu amefunga mapipa sio mwepesi kama mukwala

  • @emmanuelamos4581
    @emmanuelamos4581 7 дней назад

    Badilisha kapteni apewe Ngoma.

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 8 дней назад

    Ateba mzigo mzito

  • @AlimasMeshacklemy
    @AlimasMeshacklemy 8 дней назад

    Hakuba hata kocha mwehu tu ateba mshambuliaji wa ajabu

  • @RichardDamiano-s4d
    @RichardDamiano-s4d 8 дней назад

    Nikwer kabisa yaan wachezaji hawatumii nafasi lkn pia hawamgasi mwamzi yaan wamepoa kanakwamba hawajui ni mtoano

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 8 дней назад

    Kama hamsikii mlioko kwenye maamuzi kuhusu Ateba

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824 8 дней назад

    Liateba jinga sana na kocha wake

  • @V.6ixEmmanuel-w2g
    @V.6ixEmmanuel-w2g 8 дней назад

    Piga mbwa hao kumamake oooh yanga wachumba haya sasa kat yasimba na yanga nan mchumba

    • @joshuahamis2738
      @joshuahamis2738 8 дней назад

      We ni kiazi,unasema hivyo wkt bado kuna mchezo wa pili?

  • @AminaMohamed-o7p
    @AminaMohamed-o7p 8 дней назад +1

    Refa kawabeba waarabu

  • @AbdallahMohamedi-m9s
    @AbdallahMohamedi-m9s 7 дней назад

    Kocha ampumzishe, baunsa amchezeshe mukwara

  • @franccoz94
    @franccoz94 8 дней назад +2

    WACHEZAJI AMBAO MO DEWJI ANASAJILI NI WA LOW QUALITY KASHINDWAA TU KUMLETA FEITOTO, HATUNA TEAM YA UBINGWAA

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 7 дней назад

      Usidhani kila kitu ni rahisi kama unavyodhani unalaumu kama vile hela unatoa wewe

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 8 дней назад

    Na uhakika Simba SC itamfunga Mwarabu ... 3 ...... Had 5

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 8 дней назад

    Kocha ni chanzo Ateba ni wa nini? Hana uwezo wa kumiliki mpira hayuko flexible hanyumbuliki halafu kocha amekaa kwenye benchi wakati anajua kabisa mechi ilitakiwa apate goli moja la ugenini Mpanzu na kibu ndiyo wachezaji waliyokuwa tishio Ahua naye pia alikuwa chini ya kiwango Ateba mechi ijayo asimwanzishe

  • @danielmwalufingo971
    @danielmwalufingo971 8 дней назад

    Ateba sio straika anakaba timu pia ahua apunguze kauchoyo

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 8 дней назад

    Shida zibwe kingereza refa hajui kiswahili jmn

  • @fridashanguru2922
    @fridashanguru2922 8 дней назад

    Mchungaji ulisema simba itashinda goli 2 mbn wamefungwa sasa utabiri wako nivipi

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 8 дней назад

    Niseme kule mbele hasa Ateba utulivu unahitajika kila bahati ya nafasi moja ni dhahabu. Na kingine SIMBA BAHATI HAIKUWA KWETU KABISA. ACHANA NA KUMLAUMU REFA NA MTU YEYOTE

  • @luck2389-s1z
    @luck2389-s1z 8 дней назад

    Gsm anaharibu mpira

  • @mwarongoMwarongo-ej2jk
    @mwarongoMwarongo-ej2jk 8 дней назад

    Ateba ajirekebishe Nini wakati uwezowake umefika mwisho

  • @AntidiucLwezaula-im3co
    @AntidiucLwezaula-im3co 8 дней назад

    Ndgu muandishi acha unafki sasa unaongea vip kwamba simba hoi wakati kamilik mpirq mwanzo mwixho

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 8 дней назад

    Mkomeee😂😂😂😂😂 mazoezi ndo msingizie mmepingwatuj😂😂😂

  • @PaschaziaAlbert
    @PaschaziaAlbert 8 дней назад

    Acheni mambo ya kujitamba sisi hatupendi hayo

  • @luck2389-s1z
    @luck2389-s1z 8 дней назад

    Muone mchungaji wa mbuzi huyoo kafungwa

  • @BakariTlagha
    @BakariTlagha 8 дней назад

    Kocha fala tu kama mafala wengine

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 8 дней назад

    Ulisema unashinda mbona hujashinda mobility pole just hamtoboi ngoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooookkkkk

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 8 дней назад

    Muone na kilimu yake usoni😂😂😂

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 8 дней назад

    Var ya waarabu

  • @ngwandungagala679
    @ngwandungagala679 8 дней назад

    Uwezo wawachezaji ni mdogo

  • @ngwandungagala679
    @ngwandungagala679 8 дней назад

    Mm naona mtavuka maji

  • @PendoMkaka
    @PendoMkaka 7 дней назад

    Hatumtaki mjinga hiyo hafai

  • @luck2389-s1z
    @luck2389-s1z 8 дней назад

    Kiukwel huyu mchungaji anaupungufu wa akili

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 8 дней назад

    Eti kila sku ateba na haba mbinu zozote jana imeniuma sana kupoteza mechi kijinga kila mtu anacheza mwenyewe haichezi kama timu

  • @NicySinkala
    @NicySinkala 8 дней назад

    Michezo hauna bahati

  • @omarijuma5007
    @omarijuma5007 8 дней назад

    Huyo huwa ana ndoto ,zake za mchana

  • @Orgy-go1gj
    @Orgy-go1gj 8 дней назад

    Tushukuru kwa yote ,mbili chache,kuliko tungefungwa nne

  • @mwarongoMwarongo-ej2jk
    @mwarongoMwarongo-ej2jk 8 дней назад

    Kocha anatukera na ateba wake

  • @user-pz4or4vr3x
    @user-pz4or4vr3x 8 дней назад +2

    Kocha kazingua sana ameshindwa kufanya sub mapema

  • @ngwandungagala679
    @ngwandungagala679 8 дней назад

    Huko sio ligi kuu tulieni muone

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 8 дней назад

    Kwenda kule mnajifaliji tu timu lenu bovu

  • @BakariTlagha
    @BakariTlagha 8 дней назад

    Anachelewa kufanya mabadiliko

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 8 дней назад

    Mkomeee😂😂😂😂😂

  • @ngwandungagala679
    @ngwandungagala679 8 дней назад

    Kolo acheni lawama uwezo mdogo

  • @HasaniMohamed-v1t
    @HasaniMohamed-v1t 8 дней назад

    Kocha amechelewa kumtoa ateba

    • @damianichayo895
      @damianichayo895 8 дней назад +1

      Acheni ushamba kishabiki. Coach kakosea Nini? Utaalam sio mfikiriavyo

  • @AthumaniBindo-tl1wo
    @AthumaniBindo-tl1wo 8 дней назад

    Nihihii iliwatowa yenutu nawajuwa ni jajisifutuu hmna kitu watawatowa tena zenu ni firimbi hmnakitu Acha uongo

    • @JosephVicent-fu2ii
      @JosephVicent-fu2ii 7 дней назад

      Ili tushinde kwa Mkapa, tufanye haya
      Timu ijitume,Washambuliaji waingie kwenye 18 wengi ili cross za mpanzu wazitie nyavuni, Sub ifanyike mapema mchezaji anapoonekana hayupo vizuri kama Ateba na Ahoua watupishe maana kuna Mukwala, Chasambi , Mutale na wengine,Wachezaji waelekezwe namna ya kudai haki yao kwa wanaosimamia AVR na wajue ipo, Mwalimu aache kulazimisha Ateba lazima aanze kucheza ikiwezekana atokee bench, Washabiki tujitahidi kuingia uwanjani kwa wingi kwa mchezo wa marudiano tuishangilie timu yetu. SIMBA NGUVU MOJA.

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati 8 дней назад

    Hadi bench ufundi

  • @MohamadKhalid-k3r
    @MohamadKhalid-k3r 8 дней назад

    Nyoko ulituambia simba anashinda 2 leo wewe kajichubue tu eti mchungaji kamdomo tu mpira sio maneno

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 8 дней назад

    We boya tu

  • @Nasmaidrisa-g7g
    @Nasmaidrisa-g7g 8 дней назад

    Au gsm anahalibu mpila 😅😅😅😅😅😅